Nenda kimara temboni kwa Kuhani na Nabii Mwacha, nasikia ndiyo toleo jipya, Mwamposa wanasema amefulia na ni toleo la zamani.
Wenyewe wanakwambia pale kwa Mwacha ndipo penye ngome ya Yesu.
Nenda kimara temboni kwa Kuhani na Nabii Mwacha, nasikia ndiyo toleo jipya, Mwamposa wanasema amefulia na ni toleo la zamani.
Wenyewe wanakwambia pale kwa Mwacha ndipo penye ngome ya Yesu.
Ili na yeye ale bata,full kuogelea kwenye majacuz,kidimbwi beach kwa sana,asubuhi aamshwe na supu ya kangaroo π¦,mashuka meupe kwenye five π hotels,agonge mvinyo kwa sana na awe na chawa km mondi.. Km Hii miujiza ipo kanisani kwenu mcheki dm,mkishindwana mkatie rufaa aje kanisani kwangu
Nkuelekeze namna ya kumuona mwanga wako mambo yasiwe mengi. Mtafte paka muoshe uso. Yale maji uliyomuoshea yakinge alafu yatumike kuosha uso wako. Utakayemuona dili nae mpaka akuopoe
Hahahahha eti miujiza, kila la heri mkuu. Ukilipata na mimi naomba connection maana nimeshatafuta kula raha ila mpaka leo bila bila au mimi nimefungwa 2 kavu.