Je kuna kampuni ambayo naweza kuja na bidhaa mfano viungo na wao wakawa wanazifungasha ili mimi nichukue kutoka kwao bidhaa iliyokamilika? Inaitwa Copacking kwa kiingereza maelezo link:
Tanzania hii biashara bado, ndiyo maana bado tuna shida sana ya vifungashio vya kisasa na ndiyo chagizo kuu la wafanyabiashara wadogo wa Bongo kushindwa kukua na kutoza soko la kimataifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.