Nahitaji joho la kukodi

Shebby Pallah

Member
Joined
May 1, 2017
Posts
29
Reaction score
18
Tafadhali rejea kichwa cha habari mim n muhitimu wa chuo kikuu mahafali ya chuo yameshapita but familia inahitaji kufanya sherehe ya mahafali kama kuna mtu anakodisha majoho kwa wahitimu wa Chuo Kikuu naomba tuwasiliane

0788458460
 
Joho inategemeana na chuo, lkn pia course ulosomea,joho huwa na mchanganyiko kam hutojali hivyo unaweza vaa lolote,

Nakushauri nenda kwa chuo husika, ongea na warden au watu wa estate, wana weza kukupatia
 
Tafadhali rejea kichwa cha habari mim n muhitimu wa chuo kikuu mahafali ya chuo yameshapita but familia inahitaji kufanya sherehe ya mahafali kama kuna mtu anakodisha majoho kwa wahitimu wa Chuo Kikuu naomba tuwasiliane

0788458460
St. Anne marie schools mbez kwa msuguli Dsm utapata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…