Nahitaji iPhone 6 Plus

RAYAN THE DON

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2019
Posts
679
Reaction score
1,220
Habari wanabodi? Kama kichwa cha bandiko hili kisemavyo, nahitaji Iphone 6 plus. Bajeti yangu ni Tshs 400,000/=

Kama kuna mtu anajua chimbo linalouza simu za iPhone kwa huku Kariakoo naomba nifahamishwe wakuu.

Nawatakia wikendi njema na pia karibuni kwa michango.
 
Nipigie najua 0714074040
 
Nipigie nipo aggrey hapa


+255713103924
 
Skuizi aziitwi iphone 6 plus ni Tecno janja
Maana ata wauza chips waliokua wana dharauliwa wanazo, makonda wa daladala wanazo, mama ntilie wanazo so wengine wameenda far wanamiliki iphone 8 mpk x
 
Tecno ni takataka haistahili hata kuwekwa kundi moja na iphone 3GS
Skuizi aziitwi iphone 6 plus ni Tecno janja
Maana ata wauza chips waliokua wana dharauliwa wanazo, makonda wa daladala wanazo, mama ntilie wanazo so wengine wameenda far wanamiliki iphone 8 mpk x
 
Mimi ninayo yangu ina Iphone 6+ 16GB, Imefikisha Mwaka Tangia Niinunue, Ina Crack Kwenye Upande Wa Juu W SCreen Nauza 250k

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…