PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,821
Habar za leo wakuu
Simu yangu (iphone 5s) imepasuka kioo hivo nahitaji kama kuna mtu ana simu kama hii yenye icloud aniuzie ili nitoe display niweke kwenye cm yangu
Budget yangu ni efu 50
Sasa mkuu nitanunuaje nzima wakati yangu imepata hitilafu ndogo tu?.. Nataka ku repare hii hii niliyonayoMimi nayo nzima nauza laki nne
Sasa mkuu nitanunuaje nzima wakati yangu imepata hitilafu ndogo tu?.. Nataka ku repare hii hii niliyonayoMimi nayo nzima nauza laki nne
Agiza EBay, au kama una sanduku la Posta naweza kukuagizia ikafikia kwenye anuani yako ila kwa gharama zako lakiniSasa mkuu nitanunuaje nzima wakati yangu imepata hitilafu ndogo tu?.. Nataka ku repare hii hii niliyonayo
Asante pia..
Rangi gan?Mimi nayo nzima nauza laki nne
Ebay inagharimu kias ganAgiza EBay, au kama una sanduku la Posta naweza kukuagizia ikafikia kwenye anuani yako ila kwa gharama zako lakini
iphone 5s screen | eBayEbay inagharimu kias gan
Hiv iPhone 5s huwa majanga tofauti kama iphone 4s ambayo naona ukiwa na 50 unabadilisha yote nyuma na mbeleAgiza EBay, au kama una sanduku la Posta naweza kukuagizia ikafikia kwenye anuani yako ila kwa gharama zako lakini
5s inahitaji uwe na kuanzia efu 85 au laki moja kubadilisha mbele tuHiv iPhone 5s huwa majanga tofauti kama iphone 4s ambayo naona ukiwa na 50 unabadilisha yote nyuma na mbele
Asante kwa link mkuu ila me sina qualification za kuniwezesha kujiunga ebay na kufanya manunuz mtandaon
Ndo maana nikasema kama una sanduku la posta naweza kukuagizia ila kwa gharama zako au kama una TIN namba naweza kukuagizia kisha mzigo ukaletewa mpaka mlangoni kwako na DHL ila hawa jamaa gharama zao zimechangamka kidogoAsante kwa link mkuu ila me sina qualification za kuniwezesha kujiunga ebay na kufanya manunuz mtandaon
mkuu kuna kubadilisha glass na kioo, hv ni vitu viwili tofauti, glass hata kkoo pale zimejaa ila kioo sasa ndo shughuriHiv iPhone 5s huwa majanga tofauti kama iphone 4s ambayo naona ukiwa na 50 unabadilisha yote nyuma na mbele
Hiyo basi tena mkuu, Mmarekani hapa alicheza kwenye hiyo issue aisee kuitoa hakuna anaeweza zaidi ya simu kutumika kama spare tuMsaada namna ya kuondoa iCloud lock wapendwa
Umepata mkkuu?Habar za leo wakuu
Simu yangu (iphone 5s) imepasuka kioo hivo nahitaji kama kuna mtu ana simu kama hii yenye icloud aniuzie ili nitoe display niweke kwenye cm yangu
Budget yangu ni efu 50
bado mkuu...vipi unayo? lakin iwe nyeupeUmepata mkkuu?
Ipo lkn 90 mkuubado mkuu...vipi unayo? lakin iwe nyeupe
Dukani nimekimbia bei hyo hyo....wanauza 90 hadi 85Ipo lkn 90 mkuu