Hallo wadau mimi nipo moshi kwa sasa nina shida na mashine ya kuangulia vifaranga ninapendelea iwe ni automatic isiwe imechoka iwe na uwezo wa kuhifadhi joto kwa muda my budget iko laki 4 ifike nilipo! shukrani kwenu wadau:A S 103::amen:
Naona mmecharuka na ujasiriamali kuna jamaa kule kibaha nilimtembelea zamani kidogo anatengeneza vizuri sana ntatafuta contact zake hata sido zinapatikana pia.
Naona mmecharuka na ujasiriamali kuna jamaa kule kibaha nilimtembelea zamani kidogo anatengeneza vizuri sana ntatafuta contact zake hata sido zinapatikana pia.