Nahitaji godoro used kampuni yoyote

Idrisa1510

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2018
Posts
271
Reaction score
416
Habari zenu wakuu.

Nahitaji godoro la size ya 5 kwa 6, 4 kwa 5 au 6 kwa 6. Nimechoka kulalia mkeka, mbavu zinauma.

Likiwa inchi 5 na kuendelea inapendeza.

Sichagui kampuni kikubwa liwe kwenye hali nzuri inayoridhisha.

Offa yangu Tsh 60,000/= mpaka Tsh 80,000/=

LOCATION: DODOMA MJINI

MAWASILIANO: 0743534388 sms/calls/whatsapp

Au PM

Tusaidiane wakuu nipate pakuzipumzisha mbavu.

Natanguliza shukrani.
 
Usinunue Godoro lilotumika hata siku moja, jitahidi ujichange ukanunue jipya hata kama litakuwa la kiwango cha chini.
 
Usinunue Godoro lilotumika hata siku moja, jitahidi ujichange ukanunue jipya hata kama litakuwa la kiwango cha chini.
Unge nipatia na sababu. Hapa ume niacha njia panda.
 
 
Kama una laki moja njoo uchukue 0656-548919 nipo dodoma mjini
sms/calls/whatsapp
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…