hii ni moja wapo ya magari ambayo siyapendi hata kuyaangalia tu.
Hahahaha. Unaogopa mafuta nini?hii ni moja wapo ya magari ambayo siyapendi hata kuyaangalia tu.
Hahaha unaogopa kodiIlete Bara mkuu! Ntaichukua bila wasiwasi
hapo adi kuitoa bandari ya dar utakua umefilisi account

Hiyo nimeipenda...waTz wagumu kuelewa, unamwambia 5.5M-6.5M, ila anashidwa kabisa kuelewa maandishi hayo.Nissan Gani? ila uwe nayari ku negotiate around 6M
Itaongezeka bei lknIlete Bara mkuu! Ntaichukua bila wasiwasi