hii ni moja wapo ya magari ambayo siyapendi hata kuyaangalia tu.
Hahahaha. Unaogopa mafuta nini?hii ni moja wapo ya magari ambayo siyapendi hata kuyaangalia tu.
Hahaha unaogopa kodi [emoji2] [emoji2] [emoji2] hapo adi kuitoa bandari ya dar utakua umefilisi account[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ilete Bara mkuu! Ntaichukua bila wasiwasi
Hiyo nimeipenda...waTz wagumu kuelewa, unamwambia 5.5M-6.5M, ila anashidwa kabisa kuelewa maandishi hayo.Nissan Gani? ila uwe nayari ku negotiate around 6M
Itaongezeka bei lknIlete Bara mkuu! Ntaichukua bila wasiwasi