Nahitaji gari ya Mil 5.5 mpaka 6.5

IMG_20171107_062754_079.jpg
IMG_20171107_062754_075.jpg
IMG_20171107_062754_085.jpg
IST hyo mil 6
 

Attachments

  • IMG_20171107_062754_085.jpg
    IMG_20171107_062754_085.jpg
    42 KB · Views: 50
Pandisha dau ununue gari nzur..au nenda kaagize b4ward..ila andaa na hela ya ushuru
 
Nahitaji gari ya Mil 5 mpaka 6

Ningependa Engine size iwe zaidi ya CC 1500 (Yaani 1500 kuPanda juu)
Yenye uwezo wa Kwenda safari ndefu.

Sihitaji Dalali.

Toyota: High Priority

Mwenye nayo ani PM.
Ipo spacio old model haijaguswa engine unakuja namafundi 70 haijapigwa rangi mpaka china inafika
 
Nina Carina S.I kwenye 6.5 iwe 6.8 number C
Iko poa haina shida yoyote unaweza kuja hata namafundi kumi kuangalia machine vibali vyote viko sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom