Nahitaji gari la milioni 8, cash

Nahitaji gari la milioni 8, cash

leroy

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
1,622
Reaction score
2,225
Sifa:
-Ukubwa wa kutosha
-Namba ianzie 'D'
-Cc isizidi 2,000
-Isiwe na historia ya ajali
-Isiwe na madeni ya ushuru
Mimi niko Dar.
 
Nenda facebook kule kaka ingia kwenye group linaitwa CAR DEALZ TZ
Kuna ndinga kibao.
Ushindwe wewe tu
 
Back
Top Bottom