shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,337
milion 8 ni bora ujiongeze uchukue gari mpyaaaaa.. ( used ya kijapan)
Mkuu vp ulishapata gari?
Yako matoyota mark 2 six mapya kutoka bandarini kwa five m.Pia kuwa makini kuna mengine nimirenge...yaani magari yaliyoibiwa.
Shngap?
Hali take?
Tuma pic
Toyota nadia km 71066
Vibali vyote vipo
Touran volkwagen
Unaepukaje matatizo kama haya mkuu ya kuuziwa gari ya wizi