Nahitaji Gari kwa Milioni 8

leroy

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
1,623
Reaction score
2,227
Vigezo:
-Namba ianzie na 'C',
-Iwe imetembea chini ya km 100,000
-Sina choice ya Make na Model lakini iwe na upana (ukubwa) wa kutosha
-Isiwe na hitilafu yoyote ya kiufundi
-CC zisizidi 2,000
-Isiwe na historia ya ajali.
 
Touran volkwagen
 

Attachments

  • 1439354815807.jpg
    81 KB · Views: 945
  • 1439354872299.jpg
    43.4 KB · Views: 865
  • 1439354906571.jpg
    82.6 KB · Views: 856
Volkswagen ni gari nzuri sana nazikubali, ila hiyo tourane shida ni kwamba ina sura mbayaaaa, bt it's super!
 
Toyota nadia km 71066
Vibali vyote vipo
 

Attachments

  • 1439359456368.jpg
    56.1 KB · Views: 735
  • 1439359496838.jpg
    44.9 KB · Views: 653
  • 1439359524350.jpg
    41.3 KB · Views: 658
  • 1439359576858.jpg
    56.7 KB · Views: 652
Mkuu hapa JF unaweza ukauziwa mbuzi kwenye gunia,jambo la msingi nenda taratibu ili uweze kupata kitu safi.
 
Nkupe Toyota allion cwr 793 iko vzur km 79000 iko pimped inapendeza call me back nkutumie pic 0712267367
 
Nina Toyota Altezza kaka ongeza lakitano nokupe haina tatizo namba ni C .engine capacity ni 1990 na haili mafuta haliyake ni bado mpya ni pm no nikutumie picha
 
Kama bado hujapata ipo Honda Airwave model 2006.
Cc 1490
Namba Cuw. Kama uko serious text me.
0756600311.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…