Nahitaji Gari kwa Milioni 8

Nahitaji Gari kwa Milioni 8

leroy

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
1,622
Reaction score
2,220
Vigezo:
-Namba ianzie na 'C',
-Iwe imetembea chini ya km 100,000
-Sina choice ya Make na Model lakini iwe na upana (ukubwa) wa kutosha
-Isiwe na hitilafu yoyote ya kiufundi
-CC zisizidi 2,000
-Isiwe na historia ya ajali.
 
Touran volkwagen
 

Attachments

  • 1439354815807.jpg
    1439354815807.jpg
    81 KB · Views: 935
  • 1439354872299.jpg
    1439354872299.jpg
    43.4 KB · Views: 857
  • 1439354906571.jpg
    1439354906571.jpg
    82.6 KB · Views: 846
Volkswagen ni gari nzuri sana nazikubali, ila hiyo tourane shida ni kwamba ina sura mbayaaaa, bt it's super!
 
Toyota nadia km 71066
Vibali vyote vipo
 

Attachments

  • 1439359456368.jpg
    1439359456368.jpg
    56.1 KB · Views: 727
  • 1439359496838.jpg
    1439359496838.jpg
    44.9 KB · Views: 646
  • 1439359524350.jpg
    1439359524350.jpg
    41.3 KB · Views: 652
  • 1439359576858.jpg
    1439359576858.jpg
    56.7 KB · Views: 644
Mkuu hapa JF unaweza ukauziwa mbuzi kwenye gunia,jambo la msingi nenda taratibu ili uweze kupata kitu safi.
 
Nkupe Toyota allion cwr 793 iko vzur km 79000 iko pimped inapendeza call me back nkutumie pic 0712267367
 
Nina Toyota Altezza kaka ongeza lakitano nokupe haina tatizo namba ni C .engine capacity ni 1990 na haili mafuta haliyake ni bado mpya ni pm no nikutumie picha
 
Kama bado hujapata ipo Honda Airwave model 2006.
Cc 1490
Namba Cuw. Kama uko serious text me.
0756600311.
 
Back
Top Bottom