Nahitaji gari aina ya noah nina mil 5

Nahitaji gari aina ya noah nina mil 5

financ

Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
8
Reaction score
0
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwenye nayo tuwasiliane
 
Just a polite answer, ondoa hili taangazo utakejeliwa hapa mpk uudhike.
 
pesa mingi sana hii. mi nina bodi ya noah mil 4
 
Ongeza marambili ya hiyo nikuletee noah mayai
 
Utapata ndugu ata usiwe n shaka..
 
Kwaio iyo pesa utapata gar la pressure kila uki-drive unakuwa huna raha
 
Mkuu unakusudia Noah gani ?? Kama ni yule mnyama khaaraaaam utapata wengi sana kwa hiyo bei. Nenda pale marangu kwa mama manka. Kama ni gari kuna bodi utapata nicheki pm
 
Mkuu unakusudia Noah gani ?? Kama ni yule mnyama khaaraaaam utapata wengi sana kwa hiyo bei. Nenda pale marangu kwa mama manka. Kama ni gari kuna bodi utapata nicheki pm

:what::what::what::what:
 
Back
Top Bottom