Tanzanian lady
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 261
- 322
upo wapi?gari lipo,landcruiser.Habari wakuu
Naamini humu kila Jambo linawezakana
Nahitaji gari aina ya Land cruiser Prado new model, au gar yoyote iliyonyanyuka ambayo waweza itumia Kwa safari za pori ukilinganisha Na barabara zetu baadhi ya sehemu siyo nzuri.
Yoyote Mwenye kufanya biashara hii anipm pamoja Na gari husika Na bei zake.
Ningeweza kuagiza lakini muda Na uhitaji havina urafiki.
Awe serious pls.
Asanteni!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama huna idea ungeweza kunyamaza tu humu tupo mbalimbali wengine wafanyabishara wenye hizo showroom wameshanipm wakutosha I hope nitafanikiwa.okay?Mbona showrooms kibao tu si uende ukajichagulie ulipe tu mkuu
Habari za asubuhi wakuu
Kama nilivyoandika penye wengi haliharibiki Jambo. Nahitaji gari Prado land cruiser iliyotumika(iwe Na Hali nzuri)
Au gari yoyote ya juu ambayo naweza kutumia Kwa field maeneo ya vijijini Na ukizingatia miundo mbinu ya barabara Kwa baadhi ya sehemu hapa nchini.
Isiwe bei kubwa ukilinganisha Na bei za sokoni
Ningeagiza lakini nakimbizana Na muda Na uhitaji
Kama kuna mtu anayo anipim
Then pls be serious.
Asanteni wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado ipo?Ipo cruiser prado ya mwanzo ile ya square manual haijatumika sana ipo mikocheni yoyote mwenye matamanio pm
Sent using Jamii Forums mobile app