Nahitaji flat tv smart

vitu vya gharama zaidi, magari, tunanunua dukani?
kuthibisha gari umiliki ni TRA na clearance ya police ukitaka ni rahisi kujua na kutopata matatizo kuliko vitu vya ndani unanunua kutoka ndani kwa mtu tena hapana bora kutokua na kitu mpaka upate hela ya kutosha ununue kitu kipya hapo nazungumzia kwa wanafamilia ila kwa maisha ya gheto popote unachukua tuu...
 
Mimi nipo geto mkuu.halafu lazima nijiridhishe na mali husika.polis sio kuzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
StatX Unachukua? Ukisema za kichina una maanisha nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…