Nahitaji elimu zaidi katika matumizi ya solar

Nahitaji elimu zaidi katika matumizi ya solar

Nilisema hapo juu friji na pasi avitoe, Kuna jamaa likanivamia kuleta mdomo, sola nimetumia tangia 2015 nina uzoefu nazo
Huna unachojua kwenye solar energy! Unafikri size ya solar inamuliwa tu kwa kuangalia taa na TV?
 
Ni kweli mkuu 3.8KWA/h hajaimaliza

Tukijumlisha hizo Watts = 75W(TV)+24W(Taa)+10W(Wifi)+10W(Decoda)+40W(Radio)+60W(Laptop) = 220W

Total Watts = 220W = 0.22KW

Running Hours = 3.8KWh/0.22KW = 17Hours

Akiwasha hivyo vitu anaweza kutumia kwa 17hrs ,solar inaanza kufanya kazi saa 12+dakika kadhaa asubuhi ila intensity nzuri ya jua ni kuanzia saa tatu asubuhi mpaka 10 Jioni ,kwahiyo kuanzia saa 11 jioni mpaka saa tatu asubuhi kuna 16hrs hapo na anabakiza kudai saa 1....Maana yake kwa hivyo vifaa anaweza kurun 24hrs bila kuathirika na ndipo atakapoenjoy solar ,hana wasiwasi wa power kuisha.
Angalau wewe mkuu unaweza kumweleza mtu akajua kabisa mahitaji yake, kuliko ngendere zingine zinakurupuka tu funga solar ya watt 100, bila kuzingatia mahitaji ya mtu!
 
Back
Top Bottom