Nahitaji display/kioo ya simu tajwa hapo juu, hii pia hata kwa wale wenye simu ya namna hiyo iliyokufa machine ila vipuri tajwa hapo juu vinafanya kazi.
Mkuu Ukiwa Posta Hapo Mnara Wa Askari
Pandisha Kwenda Juu Hadi Ukifika Cross Road Ya Mwendokasi Utaona Jengo La PPF Kulia Kwako Mbele Yaani Jengo Linalofuata Ndiyo
J Mall Ndani Humo Kuna Samsung Customers Care
Mkuu Ukiwa Posta Hapo Mnara Wa Askari
Pandisha Kwenda Juu Hadi Ukifika Cross Road Ya Mwendokasi Utaona Jengo La PPF Kulia Kwako Mbele Yaani Jengo Linalofuata Ndiyo
J Mall Ndani Humo Kuna Samsung Customers Care