Nahitaji dereva wa Uber

Nahitaji dereva wa Uber

Natafuta dereva wa kuendesha Toyota Vitz new model, awe na uzoefu wa kazi hiyo, leseni class C1,2 au 3, awe mwaminifu, awe na mdhamini mwenye makazi ya kudumu na kitambulisho cha Taifa.

Mwenye uhitaji ani pm

Natafuta dereva wa kuendesha Toyota Vitz new model, awe na uzoefu wa kazi hiyo, leseni class C1,2 au 3, awe mwaminifu, awe na mdhamini mwenye makazi ya kudumu na kitambulisho cha Taifa.

Mwenye uhitaji ani pm
Ungeeleza vizuri name Kwan kina mkataba unakuwaje
 
Hivi madereva wa ubber ni lazima wawe na class c?!
 
Natafuta dereva wa kuendesha Toyota Vitz new model, awe na uzoefu wa kazi hiyo, leseni class C1,2 au 3, awe mwaminifu, awe na mdhamini mwenye makazi ya kudumu na kitambulisho cha Taifa.

Mwenye uhitaji ani pm
Ni mpya gari mkuu??
 
Soma
Yaani kigari chenyewe vitz afu eti dereva awe na class C...! Are you crazy??
Soma vizuri, nimesema C1,2 au 3. Na sio C plain unayoitaja wewe. Magari madogo ya abiria lazima use na C1,2 au 2
 
Hii gari unaitoa kwa mkataba maalumu au ndo zile fanya kazi ukichoka Nipe gari yangu?
Hebu fafanua kidogo mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom