Nahitaji dawa ya kutokomeza nzi

Nahitaji dawa ya kutokomeza nzi

Joined
Feb 18, 2018
Posts
29
Reaction score
8
Habari za leo wana JF? Natumaini niwazima wa afya tele...

Mimi ni mjasiriamali mdogo mwnye mwenye ndoto za kufika mbali sana.

Tatizo linalonisbua kwnye bishara yangu ni hawa wadudu INZI, Licha ya kujaribu kuwa msafi na kufanya biashara kiusafi lakin bado nawaona INZI na sipendi kuwaona kabisa.

Mwenye kujua dawa ya kuuwa na kuangamiza kabisa huyu mdudu anisaidie

Mpaka naamua kuandika hivi ni kwmaba ananikera sana huyu mdudu

Natumaini nitapata majibu yatakayo nisaidia hapa
 
Tumia ndimu ya maji! Vinega... Inafukuza nzi.. Dawa za kuwaua znaweza kuwa na effect kwenye biashara yko.

Edward is right, Usafi, white vinegar na ndimu in spray bottle, pia baking soda powder with a little bit of liquid soap in spray bottle, it kill them easily.

Kama unauza chakula tumia ndimu na white vinegar, other areas you can use soap and baking soda powder.
 
Edward is right, Usafi, white vinegar na ndimu in spray bottle, pia baking soda powder with a little bit of liquid soap in spray bottle, it kill them easily.

Kama unauza chakula tumia ndimu na white vinegar, other areas you can use soap and baking soda powder.
Nashukur ndugu
 
Mkuu nenda duka la dawa ya mifugo au wale jamaa wanaotangaza sumu ya paya,nzi nk ulizia Fly Bait - au waambie dawa ya nzi ipo kwenye pakti ya Kijani na ndani ina unga wa manjano inauzwa shs 1,000. Unanyunyiza kidogo tu nzi wanaifuata wenyewe na wanakufa hapo hapo.
Tumia hiyo na lete mrejesho iwasaidie na wengine.
 
Mkuu nenda duka la dawa ya mifugo au wale jamaa wanaotangaza sumu ya paya,nzi nk ulizia Fly Bait - au waambie dawa ya nzi ipo kwenye pakti ya Kijani na ndani ina unga wa manjano inauzwa shs 1,000. Unanyunyiza kidogo tu nzi wanaifuata wenyewe na wanakufa hapo hapo.
Tumia hiyo na lete mrejesho iwasaidie na wengine.
Shukran ndugu nitajarbu hiyo
 
Dawa kiboko ni chumvi.jaribu kuyeyusha chumvi kwa wingi kisha nyunyizia juu ya meza na sehem wanazozipenda afu ulete mrejesho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom