Kama upo serious tufanHabari wana jamvi!
Nahitaji dagaa kwaajili ya chakula cha mifugo,wale wa mwanza
Nahitaji tani 30-40
Nipe mchanganua wa bei yako hadi mzigo naupata dar es salaam utakua unaniuzia tsh ngapi kwa 1kilo?
Ahsante
Nakuja PmKama upo serious tufanView attachment 416076View attachment 416077ye arrangements