Nahitaji dagaa (chakula cha mifugo)

Nahitaji dagaa (chakula cha mifugo)

makua

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2013
Posts
208
Reaction score
40
Habari wana jamvi!
Nahitaji dagaa kwaajili ya chakula cha mifugo,wale wa mwanza
Nahitaji tani 30-40

Nipe mchanganua wa bei yako hadi mzigo naupata dar es salaam utakua unaniuzia tsh ngapi kwa 1kilo?

Ahsante
 
Mkuu mimi ninao wa Ukanda huohuo kutoka Musoma lkn ntakuuzia kwa 2500/kg delivery ni two weeks baada ya kupokea order.
 
Habari wana jamvi!
Nahitaji dagaa kwaajili ya chakula cha mifugo,wale wa mwanza
Nahitaji tani 30-40

Nipe mchanganua wa bei yako hadi mzigo naupata dar es salaam utakua unaniuzia tsh ngapi kwa 1kilo?

Ahsante
Kama upo serious tufan
1476176928080.jpg
1476176941262.jpg
ye arrangements
 
Back
Top Bottom