Nahitaji chumba na sebule ya kupanga - Dar

Nahitaji chumba na sebule ya kupanga - Dar

nasssen

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
489
Reaction score
537
Habari zenu wana JF. Nahitaji nyumba simple ya kupanga iwe na chumba kimoja na sebule, self contained (yaani choo na bafu kwa ndani).
Isiwe mbali sana na city center na iwe mpya kidogo. Kuhusu sehemu yenyewe na kodi tutapatana.

Asanteni.
 
Habari zenu wana JF. Nahitaji nyumba simple ya kupanga iwe na chumba kimoja na sebule, self contained (yaani choo na bafu kwa ndani).
Isiwe mbali sana na city center na iwe mpya kidogo. Kuhusu sehemu yenyewe na kodi tutapatana.

Asanteni.
kipo chumba na sebure tegeta ni kizuri tu bei ni 100,000 mawasiliano 0764014285
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom