Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,091
- 8,243
Nahitaji chumba na sebule kwa ajili ya kupanga, nyumba iwe katika hali nzuri. Maeneo ni kati ya haya mwenge, sinza afrika sana karibu na kona bar (iwe rahisi kujitupia yale mambo yetu nyakati za usiku), Makumbusho, kijitonyama na ubungo naweza nikapafikiria kidogo. Bajeti yangu ni shs. 100000 kwa mwezi, mwenye nyumba awe tayari kupokea miezi 6 or 8. Asanteni