Isaac1
Member
- Nov 12, 2018
- 79
- 70
Habari wanaJf
Nahitaji chumba single self kizuri cha kupanga Arusha eneo lolote lisilokuwa uswazi. Panapofikika mjini kwa urahisi.
Bajeti yangu ni 50k mpka 100k Ila kikiwa kikali zaidi naweza ongeza dau.
Mwenye nyumba asiishi hapo na umeme uwe wa kujitegemea
Zingatia maelezo hapo juu.
Asanteni.
Nahitaji chumba single self kizuri cha kupanga Arusha eneo lolote lisilokuwa uswazi. Panapofikika mjini kwa urahisi.
Bajeti yangu ni 50k mpka 100k Ila kikiwa kikali zaidi naweza ongeza dau.
Mwenye nyumba asiishi hapo na umeme uwe wa kujitegemea
Zingatia maelezo hapo juu.
Asanteni.