Nahitaji Bucha la kukodi

Nahitaji Bucha la kukodi

Loveeness78

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2016
Posts
280
Reaction score
294
Heshima kwenu wakuu.

Nahitaji bucha ya kukodi jijini Dar es Saalam kwa ajili ya kuuza nyama ya ng'ombe, kama likiwa na vifaa baadhi itakuwa vizuri zaidi. Ila hata kama halina vile vifaa basic za kuuzia ila liwe butcha nitashukuru pia.
Mwenye kujua au kuwa nalo ataniambia hapa public au hata PM pia nitashukuru.

Natanguliza shukrani kama nitawezeshwa kulipata.
 
Naona unataka kupiga pesa msimu was sikukuu,biashara ya bucha inalipa sana Kama ukiwa na mzunguko mzuri
 
Back
Top Bottom