Nahitaji betri ya HTC One MAx

Nahitaji betri ya HTC One MAx

mbogojnr

Member
Joined
Jun 26, 2012
Posts
30
Reaction score
15
Ninahitaji betri ya HTC One Max kama kuna mtu anayo naomba aniinbox bei na jinsi ya kuipata pia aseme kama ni ya mtumba ama mpya na kama anaweza kuifunga kwenye simu yangu. Asanteni kwa msaada wenu.
 
Back
Top Bottom