Dogo ni wa kike au wa kiume.
Kama ni wa kike ninaweza kukuuzia baiskeli niliyonayo kwa shilingi 5000 au hata nikakupa bure. Kama ni wa kiume nauza kwa 200,000.
Kama ni wa kike alafu mweupe nakupa baiskeli bure na kumlipia ada.
Nina roho nzuri Sana, kama huamini kamwulize Ushimen na fimboyaukwaju.
Mkuu Wernery G Kapinga habari za Kilombero, hilo ni eneo langi nimekulia hapo, nimekula sana Ubwabwa na Kitoga!
anyway sasa nenda pale ruaha kuna mama mmoja anauza hizo anaitwa mama Christopher (Mama Kili), Usipopata sema niku link na jamaa wa kariakoo mimi nilishachukua yangu ya mazoezi hapo, Ukishindwa kabisa sema niku link na jamaa wa Tanga nae wanauza itategemea criteria zako!