Nahitaji baiskeli ndogo

marandu2010

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2010
Posts
1,201
Reaction score
446
Zlizotumika za watoto wa miaka 10 kuendelea,kuanzia 30-35elfu.

Nipo DSM, namba 0658327429.
 
Kariakoo mtaa wa swahili near mataa ya fire au tabata relini near aroma
 
stil needed

Mkuu baiskeli ipo ila inaitaji service ndogo ndogo kama kuwekwa mafuta,kubadiliswa mnyororo na kuongezwa break 7bu ina break ya mbele tu! Ila kuhusu kutembea inatembea vizuri tu! Ila swala la service nilazima! 7bu usalama ni wajibu wetu! Na kuhusu size cna utalamu sana ila nachofahamu ni size ya matairi yake ambayo ni size 27

Ukiwa interested utanichek ili nikitoka kazini nikutumie picha yake. Bei utanipa elf 40,000/= baada ya kuridhika nayo.
 

Ameshaichukua?
 
Natafuta baiskeli ya mtoto wa umri miaka 11, 9na 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…