black person
Senior Member
- Nov 20, 2014
- 129
- 90
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kama kuna developer au mtu anayeweza kunipa mawasiliano na developers wa Android na Apple Applications naomba tuwasiliane tafadhali.
Nadhani mawasialiano hapa itakuwa vizuri zaidi kuliko Pm ili kusaidia na wengine wenye uhitaji.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani mawasialiano hapa itakuwa vizuri zaidi kuliko Pm ili kusaidia na wengine wenye uhitaji.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app