Nahitaj kioo cha note 3 na housing

Nahitaj kioo cha note 3 na housing

kishtobe86

Member
Joined
Jul 9, 2015
Posts
7
Reaction score
0
Habari za wakuu nahitaji kujua gharam za kioo cha simu ya note 3 pamoja na housing yake nahis fundi anataka kunipiga
 
kama upo mikoa ya kaskazini agiza Nairobi siyo ghali sana hapa tz lazima upigwe, usishangae bei ya housing ikawa ni robo tatu ya bei ya note 3 mpya,nlikua natafuta kio cha note 2 huku ni 80 elfu hadi laki, nairobi nilipata kwa ksh 1500 tu.
 
Back
Top Bottom