Unakunywa maji Kwa wingi🏖️🏖️🏖️⛱️⛱️🍹🍹🍹Tangu week hii imeanza nalewa ila nikiamkaa asubuhi nakuwa kama mwili wote unauma walevi wenzangu nisaidieni
Achana na mlenda aseee si kuna mchemsho?Asa nikiamka asubuhi nakuwa natamani chakula ambacho hakijapikwa na mafuta kama mlenda
Mlenda hatari sana, lakini uwe na kitimoto makange.Achana na mlenda aseee si kuna mchemsho?
Hapo hatuzungumzii kukata tunazungumzia unywaji wa pombe Kali unaendana na kunywa maji Kwa wingi kinyume chake ni kua na uchovu na kuumwa na kichwaaMaji nakunywa mkuu tena ya baridi saana ila hayakati pombe
Asa apo kudrink responsibly ndo huwa nashindwa kabisa mkuu hadi nahisi melogwaHapo hatuzungumzii kukata tunazungumzia unywaji wa pombe Kali unaendana na kunywa maji Kwa wingi kinyume chake ni kua na uchovu na kuumwa na kichwaa
NB.
Drinking Responsible
Tarehe za mshahara zinakaribia, mwili unataka HennessyTangu week hii imeanza nalewa ila nikiamkaa asubuhi nakuwa kama mwili wote unauma walevi wenzangu nisaidieni
Hamia Hanson choiceSawa kaka nilitaka nihamie kwenye k vant