Ultra sound inaweza kuwa kiasi gan mkuu sina bimaPole sana . Muone daktari akusaidie kukufanyia vipimo. Pima mkojo pamoja na culture na sensitivity, pima damu kuangalia utendaji kazi wa mafigo yako , ultrasound inaweza kuboresha wigo wa kuangalia mafigo na vitu vingine tumboni. Pima na choo. Kukata tamaa kama unavyosema kunaweza kuchangia sana hali ya kujisikia mchovu , mbali na maambukizi.
Ultrasound haizidi elfu 20 kwenye hospital ya serikaliUltra sound inaweza kuwa kiasi gan mkuu sina bima
Niwie radhi sana ndugu yangu naishi ughaibuni hivyo nikiri kwa nyumbani sijui gharama zikoje. Kupima mkojo kuangalia kama kuna maambukizi na kupima damu kuangalia kama figo ni nzima kungesaidia zaidi kuliko ultrasoundUltra sound inaweza kuwa kiasi gan mkuu sina bima
Hello! JF Doctors
Ninasumbuliwa na U.T.I almost miaka mitano sasa nimetumia dawa mbalimbali lakini hali ikawa inajirudia untill now Nina hili tatizo, Lakini kitu kinachoniogipesha sasa hivi ni kuwa na dalili zingine ambazo zinanitisha zaidi...
UTI mara kwa mara, maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kiuno kuuma hiyo ina uwezekano mkubwa wa kuwa ni UTI ambayo haikutibiwa vizuri na dawa zenye viwango nadhani na ndiyo maana nashauri kupima mkojo pamoja na culture na sensitivity itakayoonyesha aina ya maambukizi pamoja na dawa inayowaweza wadudu walioonekana.Sawa mkuu
So sorry en thank for that mkuuNiwie radhi sana ndugu yangu naishi ughaibuni hivyo nikiri kwa nyumbani sijui gharama zikoje. Kupima mkojo kuangalia kama kuna maambukizi na kupima damu kuangalia kama figo ni nzima kungesaidia zaidi kuliko ultrasound
Shukrani sana mkuuUTI mara kwa mara, maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kiuno kuuma hiyo ina uwezekano mkubwa wa kuwa ni UTI ambayo haikutibiwa vizuri na dawa zenye viwango nadhani na ndiyo maana nashauri kupima mkojo pamoja na culture na sensitivity itakayoonyesha aina ya maambukizi pamoja na dawa inayowaweza wadudu walioonekana. Gall stones mara nyingi ni maumivu tumboni juu zaidi mbali na kitovu katikati chini ya kifua (kidari) na maumivu huzidi baada ya kula au kunywa. Maumiu ya mgongo huwa ni mgongo wa kati siyo kiunoni. Fanya kipimo kimoja kimoja utapata ufumbuzi. UTI ya mara kwa mara kuna na uwezekano wa mawe kwenye kibofu na xray ya kawaida inaweza kusaidia kama ultrasound ikiwa ghali.
Umeenda kunuona daktari?Hello! JF Doctors
Ninasumbuliwa na U.T.I almost miaka mitano sasa nimetumia dawa mbalimbali lakini hali ikawa inajirudia untill now Nina hili tatizo, Lakini kitu kinachoniogipesha sasa hivi ni kuwa na dalili zingine ambazo zinanitisha zaidi....
Ushauri wangu, siku nyingine usijitangaze una ugonjwa fulani wakati hujafanya vipimo vyovyoteBado mkuu naorganize mambo mkuu soon naelekea huko
una hustoria yoyote ya ugonjwa wa zinaa, especially gono?Asee no brown kabisa....sometimes huwa na viuchafu Fulani kama maziwa
vipi kuhusu presha yako na mapigo yako ya moyo yapo sawasawa? possibly inaweza kua kidney stones (uvimbe mdogo ktk kidney) au ingection yoyote kwenye upper urinary tractHapana mkuu....mkojo wa rangi ya reddish brown na dark yellow sometyms huwa na viuchafu fulani Ni kama maziwa