TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,703
- 10,168
jana nlituma thread ya fumanizi kati ya my blood brother na mke wangu.
But bad enough hata ma x gal wangu wawili nshawahi kuwafumania na watu wangu wa karibu. Nahisi nina matatizo ya kungoneka ndio maana mademu wote na watu wangu wa karibu. Kibaya zaidi wana fake orgasm na wanasema nawaridhisha, kwanini hawaniambii ukweli?
But bad enough hata ma x gal wangu wawili nshawahi kuwafumania na watu wangu wa karibu. Nahisi nina matatizo ya kungoneka ndio maana mademu wote na watu wangu wa karibu. Kibaya zaidi wana fake orgasm na wanasema nawaridhisha, kwanini hawaniambii ukweli?