The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,606
- 3,638
Acha kupotosha huyo karogwa tena hapo ana siku kadhaa atakuwa mwendaaazimu.Nakazia
Ni rahisi sana kuamini umelogwa kuliko kukubali umekosea mahali
Tatizo hatuwezi kujua hali yake kwa undani, tumuache tu atafute 'dawa' ili ajiskie vizuri
Mkuu, hiyo tu kutambua kuwa kunankitu hakiko sawa ni hatua ya ushindi, maana yake unajijua mwenyewe jinsi mambo yako yalivyokuwa yakienda na unayapima namna yanavyoenda sasa.Wakuu,,
Nahisi kabisa toka moyoni kuna mtu kaniwekea kimavi.Yaan vitu vyangu vyote haviendi madili yote yanabuma…
.
Kazi ya nini? Acha kupotosha huyo karogwaFanya kazi acha uvivu
Mkuu, hiyo tu kutambua kuwa kunankitu hakiko sawa ni hatua ya ushindi, maana yake unajijua mwenyewe jinsi mambo yako yalivyokuwa yakienda na unayapima namna yanavyoenda sasa.
Hapo baada ya kuhisi kuwa kuna tatizo, anza kuomba sasa Mungu ujue ni tatizo gani exactly, usikisie kisie. Ukiomba kwa kumaanisha, Mungu atakuonesha njia.
Hata hivyo, kikulacho ki nguoni mwako. Wabaya ni watu wako wa karibu sana.
kuna hii midoli ya kupachika nguo, nasikia watu wa madukani wanaweka majini humoWakuu,
Nahisi kabisa toka moyoni kuna mtu kaniwekea kimavi.Yaan vitu vyangu vyote haviendi madili yote yanabuma…
Huwezi amini nikikusimulia aisee,
Kila nachojaribu kinagoma safari hii…Nishapitia msoto lakini huu si msoto n kimavi kabisa.
Naombeni ushauri kama naweza nikatoa hali hii.
Kama huna msaada positive pita ivi! Mi mwenyewe ninna stress! Tusameheane
Jf wadau
Is this serious? Au ni kuogeshwa mikojo tu?kuna dawa ukiifanya bila kuidharau ndani ya siku 7...hiyo hali itakutoka na inaanza kuleta matikeo kuanzi siku hiyo hiyo utakayo anza...
kesho panapo majaaliwa asubuhi ukienda kuoga hakikisha maji unayooga unayachanganya na mkojo wako wa asubuhi ule wa kwanza kabisa...maji yanayo hitajika ni ya room temperature ambayo hayajachemshwa mnaita yabaridi. hivyo kama upo kwenye mkoa wenye baridi kazi utakuwa nayo.
hakikisha ndoo inajaa ya rita kumi {sio uijaze mikojomkojo ni uo kidogo utakao toka asubuhi ukiwa unakojoa utauchanganya kwenye ndoo yenye maji rita 10 Oga hadi maji yaishe...!
ila kama ukifanya mapenzi na mwanamke ule mkojo ambao umechanganyika na manii haufai.
mkojo unao takiwa ni ule ambao haujachanganyika na manii...!
fanya dawa hiyo kwa kuirudia kila ASUBUHI ndani ya siku 7. baada ya hapo ikikupendeza rudi utoe mrejesho.
Is this serious? Au ni kuogeshwa mikojo tu?
Hapo jiulize kwann ukitoka haja kubwa unashauriwa unawe vzr na subuni wakati umetoka kukishika kilichopo mwilin mwako kwanini haunuki mkojo wakat upo ndan ya mwil wakoKwann usinitibu nikiwa bado sijaukojoa? Si upo mwilini mwangu? Kwann usizuie baya lisinipate nikiwa bado sijaukojoa..kwann mpaka niogee au kunywa tena!!
Nipe mechanism gani inatumika unapokaa chumbani kuomba alafu huku nje mambo yawe safi, au ni through osmosis nini?OKOKA MPOKEE YESU... INGIA CHUMBANI KWAKO FUNGA MLANGO OMBA TOBA KWA YESU ATAKUSAMEHE NA UISHI MAISHA YA KUMPENDEZA YEYE.
HAUTAONA TENA KUNYEWA MAMBO YAKO YATAKUWA SAFI.
NakaziaFanya kazi acha uvivu