Nahisi nilimegewa

kuna nini cha ajabu hapo? jamaa alishammega sana before na akazaa naye....halafu ulivyo boya ulimruhusu vipi aende kumegwa halafu unamuuliza kuhusu kumegwa wakati umeshaona manyoya...duh uzi una miaka tisa!...
 
Hajafika kwa jamaa amefika kwa mumewe
 
*ni simple tu brooo
Ukitaka kujua kama ameliwa waza hivvi
*Mfano we ndio uwe yule jamaa wa toronto
*Mzazi mwenzio kaleta mtoto wenu uje umwone
Je utamkaza au utamwacha?
Jibu ukipata ndio hicho hicho kimetokea huko toronto Canada

Sichenji buku kwa njaa ya siku moja*
 
Pole mzee Ngabu, kuchapiwa siri ya ndani we ungekomaa uioshe tu uendelee na matumizi!
 
Mbna wakati anamzalisha hukuumia ila pind anampelekea mtt baba inakuuma,jitafakar upya kuna sehem umekosea n hayo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…