Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,356
- 89,606
Nakataa..Usipooa utaolewa tu!
Nakataa..Usipooa utaolewa tu!
Teh teh teh teh. Kwani nani anapenda kuoa au kuolewa!? Mwisho we atakuja gheto na hataondoka. Mwingine atasema nina mimba na ndo lilikuwa lengo langu. Kama we kweli mwanaume,hutokubali mwanao ateseke huku unaona
Huez amini this is me...na baba sweetie sijui Yuko wap saiz..ndo nateseka uku jfHii story inapatikana katika channel gani za bongo movie?
Sina mdomoAngalia hali yako ya mdomo je wewe ni rapa.
Wanaume wachache sana usema wanachokwazwa na wake zao
mi Ni kamzungu flan mahaba tu Ila nakula za uso


What did you want shor....? Go .........move on ukutoka naye kwenye kizaziMaddox..how old are you? Mimi umri wa pisi na mwamba nshapita...Ni mama wa watoto wawili...na wa level zetu kivipii? Na hii njaa Kali mi Sina..I had money![]()
Asante RechoPole sana

Oyaa...nakutafutaga Kwa siro SI kuonisafi sana, Kataa Ndoa
Ndio Maddox..how I wish nijikatae? Nimefall kabisa.. kweli nampendaWhat did you want shor....? Go .........move on ukutoka naye kwenye kizazi
Yours_sincerely ishi na madini aya afu rudisha mrejesho mwezi September tarehe kama ya leo.Jipende dada. Kula vizuri, vaa upendeze, nukia hatakama upo nyumbani. Halafu usimgasi gasi mpe nafasi huku wewe ukiendelea kujipendezesha.
Wakati mtu kapewa Bure.Mi tugombane tu ila usinyimbe mbo**
Sasa mbo** nikitu ya kumnyima mtu kweli
Pana wengine hawajitambui,Kama anatembea uchi je aachwe,anarudi usiku saa tano kalewa aachwe tu,ukiamua kuolewa achana na maisha ya msimbe yaan usingle,maliza kwanza ujana ndipo uingie kwenye ndoa ili usichanganye mambo.Unakua unamuheshimu kama kawa. We unakua unafanya yako tu.
Si wanaume wengi tuna controlling nature tunataka control mtu kama TV.
Na step ya kwanza ya controlling man ni kukata source zako za income ili uwe dependant, ya pili anaanza kukuchagulia nani ww kuchat nae na nani uwasiliane nae, ya tatu anaanza control simu yako, nini cha kuvaa, wapi pa kwenda.. na hauwezi fanya kitu kwasababu ametimiza ile ya kwanza.
Kwahiyo cha kwanza jitoe hapo namba moja, tafuta kazi au shughuli ata ya kukuweka busy ata kama home pana space anza kufuga, kama space ndogo anza biashara ya maua au miche, yaan just be busy ukipata maokoto ukaanza shine jamaa atatuma mahali tena kwa wakwe.
Mi tugombane tu ila usinyimbe mbo**
Sasa mbo** nikitu ya kumnyima mtu kweli


nanyimwa dada, Yan naomba bas umeninyima iyo..naomba bas unishike apa, wapiii anakataa
Dear bongo dili..Yan mi nliacha adi kaziPana wengine hawajitambui,Kama anatembea uchi je aachwe,anarudi usiku saa tano kalewa aachwe tu,ukiamua kuolewa achana na maisha ya msimbe yaan usingle,maliza kwanza ujana ndipo uingie kwenye ndoa ili usichanganye mambo.
Nadharia ya sababu sina kipato thus ananinyanyasa ni kimbilio tu la wanawake wasiowatii waume zao
ili tu kumridhisha baba sweetie..as alisema nikienda job Nani atatake care of his house..Yan am a full time house wife


Sasa unalalamika nini? Ndo mapenzi hayo vumiliaLove dear... kweli nampenda.
Sasa unalalamika nini? Ndo mapenzi hayo vumilia
sawa Demi