Kuna binti nilitokea kumpenda sana wakati nasoma o level sikubahatika kudoo nae ila nilimpenda sana na yeye alinipenda sana, baada ya olevel nilikwenda
A level boarding mikoani mbal na nyumbani, toka a level mpaka chuo na sasa nimemaliza chuo nimeanza kazi sijawahi kumuona tena nilimpenda sana na sijawahi kupenda msichana mwingine tena zaidi yake hiyo hali imepelekea mpaka sitamani wasichana kabisa nimekuwa mpenzi wa pombe tu.
Nahisi kuchanganyikiwa maana now sijielewi bila pombe silali usiku.
Sijui nifanyeje?