Guyz kuna dem mmoja ambae bahati nzuri tumepata mtt pa1 japo linapokuja swala la kumwoa moyo wangu ni mgumu sana na yeye amikuwa kila siku akinisihi nmwoe.Nna wakati mungu sababu kwanza dini zetu ni tofauti na kwa muda nilokuwa nae nahisi si msichana nnaehitahi kuishi nae. Nishaurini watu wangu wa nguvu nifanyaje!
Naamini umebadilika baada ya kuhisi umezaa naye na unaonekana tokea mapema hukutegemea kuwa na malengo naye. unajuwa ''Sometimes you can do something that don't like for a change'' ni sehemu katika maisha.
Ni vyema ukabadilisha au akabadilisha dini mukawa dini 1, naamini mmoja atakuwa muislamu hiyo ndio dini sahihi. then mfanye toba, muoane mlee kizazi chenu otherwise utaenda kujifurahisha kwa mwanamke unaehisi ndio maisha yako lakini adhabu iliyo kali na iumizayo itakuwa inakusubiri