Guyz kuna msichana mmoja ambae bahati nzuri tumepata mtoto pamoja.
Japo linapokuja swala la kumwoa moyo wangu ni mgumu sana na yeye amekuwa kila siku akinisihi nmuoe.
Nina wakati mgumu sababu kwanza dini zetu ni tofauti na kwa muda nilokuwa nae nahisi si msichana ninaehitahi kuishi nae.
Nishaurini watu wangu wa nguvu nifanyaje!
Japo linapokuja swala la kumwoa moyo wangu ni mgumu sana na yeye amekuwa kila siku akinisihi nmuoe.
Nina wakati mgumu sababu kwanza dini zetu ni tofauti na kwa muda nilokuwa nae nahisi si msichana ninaehitahi kuishi nae.
Nishaurini watu wangu wa nguvu nifanyaje!