Watanzania hamjawahi kupigana hata siku moja - hamjawahi kuona mauaji makubwa huwa mnasikia tu redioni na kwenye luninga zenu.
Harufu ya damu inanukia, dharau zimezidi kati ya watawala na watawaliwa, udini umepandikizwa zaidi- narudia tena harufu ya damu ndugu zangu, tutachinjana zaidi ya wakenya.
Mbaya zaidi hakuna anayekemea, viongozi wa kisiasa hasa walioko madarakani ndiyo kwanzaa wanakoleza moto; hii nchi haitakalika, haya majumba yatabakia magofu - ni hatari sana kuchochea udini, ukabila kwa watu waliochoka na kukata tamaa kimaisha ( they have got nothing to loose ) watakuwa tayari kwa lolote.
way forward:
1. Serikali ya CCM mara moja ikataze mambo haya na hizo kesi kesi za kisiasa ambazo zinafunguliwa kukomoana zifutwe mara moja;
2. Tufanya mjadala wa kitaifa baina ya wakristo na waislam na tutoe madukuduku yote tuliyonayo moyoni - tusameheane.
3. Serikali iweke mazingira ya equal playing ground kati ya CCM na Vyama vya upinzani - Washindane kwa hoja na serikali isijiingize kwenye ushabiki wa kisiasa. sisi wananchi tutachagua pumba ipi na mchele ni upi
4. Mwisho kabisa; TUHESHIMIANE, heshima ni kitu cha bure, kwa mfano baba wa taifa alitupenda na alituheshimu na tukamheshimu pia na ndiyo maana tunamkumbuka mpaka leo ; je wewe kiongozi wa nchi unatimiza wajibu wako? jiulize.
Tukifikia uchaguzi mkuu au hizi ndogo ndogo basi mambo ya kupika pika ya wanasiasa uchara yaachwe mara moja, tusitumie umaskini wa wapiga kura uwe mtaji wa kisiasa, tusitumie udini kama mtaji wa kupata kura na kubwa zaidi Tuheshimu maamuzi wa wananchi (wenye dola), mambo ya kuiba kura yataleta matatizo makubwa mno.
Amani yetu hii ndugu zangu imo mikononi wa serikali ya CCM, itaamua inatupeleka wapi, wao ndiyo wameshikiria kikombe hiki.
Nimetumwa kuja kuwafikishia ujumbe huu muhimu, ukikubali MEZA ukikataa TEMA ila damu inanukia kama mtayapuuza hayo.
Harufu ya damu inanukia, dharau zimezidi kati ya watawala na watawaliwa, udini umepandikizwa zaidi- narudia tena harufu ya damu ndugu zangu, tutachinjana zaidi ya wakenya.
Mbaya zaidi hakuna anayekemea, viongozi wa kisiasa hasa walioko madarakani ndiyo kwanzaa wanakoleza moto; hii nchi haitakalika, haya majumba yatabakia magofu - ni hatari sana kuchochea udini, ukabila kwa watu waliochoka na kukata tamaa kimaisha ( they have got nothing to loose ) watakuwa tayari kwa lolote.
way forward:
1. Serikali ya CCM mara moja ikataze mambo haya na hizo kesi kesi za kisiasa ambazo zinafunguliwa kukomoana zifutwe mara moja;
2. Tufanya mjadala wa kitaifa baina ya wakristo na waislam na tutoe madukuduku yote tuliyonayo moyoni - tusameheane.
3. Serikali iweke mazingira ya equal playing ground kati ya CCM na Vyama vya upinzani - Washindane kwa hoja na serikali isijiingize kwenye ushabiki wa kisiasa. sisi wananchi tutachagua pumba ipi na mchele ni upi
4. Mwisho kabisa; TUHESHIMIANE, heshima ni kitu cha bure, kwa mfano baba wa taifa alitupenda na alituheshimu na tukamheshimu pia na ndiyo maana tunamkumbuka mpaka leo ; je wewe kiongozi wa nchi unatimiza wajibu wako? jiulize.
Tukifikia uchaguzi mkuu au hizi ndogo ndogo basi mambo ya kupika pika ya wanasiasa uchara yaachwe mara moja, tusitumie umaskini wa wapiga kura uwe mtaji wa kisiasa, tusitumie udini kama mtaji wa kupata kura na kubwa zaidi Tuheshimu maamuzi wa wananchi (wenye dola), mambo ya kuiba kura yataleta matatizo makubwa mno.
Amani yetu hii ndugu zangu imo mikononi wa serikali ya CCM, itaamua inatupeleka wapi, wao ndiyo wameshikiria kikombe hiki.
Nimetumwa kuja kuwafikishia ujumbe huu muhimu, ukikubali MEZA ukikataa TEMA ila damu inanukia kama mtayapuuza hayo.