kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,788
- 5,027
Jamani mimi na ex wangu tuna miaka 2 toka tuachane
Mwenzangu ameshanisau kabisa nafikiri ata hakumbuki kama ameshakuwa kwenye mausiano na mwanaume kama mimi
Lakini toka tuachane mpaka sasa mwenzio hali imekuwa tofauti kwangu kadiri siku zinavyo zidi kusogea na mimi ndivyo ninavyo zidi kumpenda kabisa na kumkumbuka saana
Hivi kuna dawa ya kumsau ex au
Mwenzangu ameshanisau kabisa nafikiri ata hakumbuki kama ameshakuwa kwenye mausiano na mwanaume kama mimi
Lakini toka tuachane mpaka sasa mwenzio hali imekuwa tofauti kwangu kadiri siku zinavyo zidi kusogea na mimi ndivyo ninavyo zidi kumpenda kabisa na kumkumbuka saana
Hivi kuna dawa ya kumsau ex au