Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,793
- 1,251,531
Hee usiniambie naitwa central pleasseeeee
Kumbe we ndo numbisa
Kumbe we ndo numbisa
Lazima ujue kutafautisha kati ya jamii forums na hizo whatsap group chat zenu,picha uloweka inahusiana vipi na mada iliyopo mezani,nlikuwa nakula umenkata apetite yote,jifunze stara bwamdogo,hebu futa hilo lipicha lako.![]()
Kumbuka hii kitu tho
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] central saiz imekuwa kama kawaida usiogopeHee usiniambie naitwa central pleasseeeee
Vip hapo hamu ya nyama choma inakoma kabsaaaaaaaaaa,,,,,,,,,,,,,,,,Lazima ujue kutafautisha kati ya jamii forums na hizo whatsap group chat zenu,picha uloweka inahusiana vipi na mada iliyopo mezani,nlikuwa nakula umenkata apetite yote,jifunze stara bwamdogo,hebu futa hilo lipicha lako.
Daaah[emoji15] [emoji15] [emoji15]![]()
Kumbuka hii kitu tho
umezurumiwa wangap?Wanaofahamika wako 12...
Kitanda hakizai haramu...umezurumiwa wangap?
Kati ya hiyo timu ya mpira hakuna wa mkemia mkuu??
[emoji22] [emoji18] [emoji18] [emoji18]Daaah[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Bora hata ningekuwa nakula nyama choma mkuu ningeongeza ndimu na pilipili, nlikuwa nakula supu ya tambi na mbogamboga.Vip hapo hamu ya nyama choma inakoma kabsaaaaaaaaaa,,,,,,,,,,,,,,,,
Hujarudisha chenji /Hujatapika..............?Bora hata ningekuwa nakula nyama choma mkuu ningeongeza ndimu na pilipili, nlikuwa nakula supu ya tambi na mbogamboga.
JamiiForums muongozo please![]()
Kumbuka hii kitu tho
teh teh tehhhhKitanda hakizai haramu...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] central saiz imekuwa kama kawaida usiogope
Nlitaka nrudishe ila nkafikiria effort nlotumia kutengeneza hii menyu nkaona ntakuwa bwege kutapika,nmekunywa maji mengi nkasepa zangu,Hujarudisha chenji /Hujatapika..............?
umenichekesha sanaNumbisa ana miaka 18
emmyta ana 17
Shunie ana 19
Wastani wao kama unajua hesabu ni miaka 18. Wote wamevunja ungo majuzi tu, bado wana bikira zao. Nimeshafanya mpango, miaka hii watadumu nayo kwa miaka mitano.
Kazi ni kwako. Ushindwe mwenyewe afu uje unilaumu babu yenu.
Ila miaka 29 mi nlikuwa nimeshaoa na nlikuwa na watoto sita... we veepee mdomo huo??? hebu uchangamshe bhana jua lishazama hivyo
HahahhhhMbona kachagua jinsia pinzani??
STUKA!! THINK!!!
picha zimekukimbiza [emoji23]Daah jmn mambo gani tena haya. Haya nimeghairi sihitaji tena kwa hizi picha mbovu