kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,300
- 17,822
Nikiwa kama mtu wa kawaida, nisiyependa Siasa...
Nimejikuta nafurahia sana watu wasiokuwa na msimamo, waoga na wanafiki wakiondoka CHADEMA.
Nawaona hivyo as hakuna hata anayeshtuka kuondoka kwa wanaoondoka.
Nawaona kama makapi ndani ya CHADEMA.
Natamani makapi mengine yazidi kupukutika.
Hongereni CHADEMA.
Ushindi wenu unakuja.
Nimejikuta nafurahia sana watu wasiokuwa na msimamo, waoga na wanafiki wakiondoka CHADEMA.
Nawaona hivyo as hakuna hata anayeshtuka kuondoka kwa wanaoondoka.
Nawaona kama makapi ndani ya CHADEMA.
Natamani makapi mengine yazidi kupukutika.
Hongereni CHADEMA.
Ushindi wenu unakuja.