Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,773
- 3,160
Ata mimi nimezaa na dada ako..ngoma droo
sa husband atajuaje??Her husband deserves being blinded taking care of the kids who are not his!?? What you trying to say
Niaje guys? Hope ur good.
Kuna cousin wangu ambae ni mtoto wa shangazi yangu, nimelelewa, kusoma na kukua kwao, nilienda hapo nikiwa std two baada ya baba kufariki, wazazi hawakua na ndoa, walipena tu mimba kama marafiki, mama alirudi mkoani kwao na amekua akiishi huko miaka yote
Nikiwa form three nilianzisha uhusiano wa kimapenzi na huyo cousin wangu, wote tulikua boarding school, wakati wa likizo ndio tunakua pamoja, tumbo lao wapo wanne, watatu wasichana, yeye pekee ndio mwanaume, tumekuwa na uhusiano wa siri hadi chuo, mimi nilisoma sheria yeye alifanya bachelor of Commerce, baadae tukaanza kazi na kupata familia zetu, kiukweli tangu kuanza mapenzi sijawahi kumpenda mtu mwingine the way navyompenda huyu cousin wangu.
Nimemzoea mno, kiasi kwamba baada ya chuo tulikubaliana kila mtu atafute mpenzi mwingine maana uhusiano wetu hauna future kutokana na kuwa ndugu, nikapata mtu kazini lakini nilishindwa tukarudiana na cousin yangu, baadae ndipo nikampata huyu alienioa, lakini bado sikuweza kumsahau cousin, tunaendelea na uhusiano wetu hadi sasa kwa kuiba.
Nina watoto wawili wa huyu cousin yangu ingawa husband anajua ni wa kwake, hawajafanana sana na cousin yangu lakini ukimuona mtoto wa cousin yangu aliepata na mkewe na hawa mapacha wangu wanafanana kila kitu na huyo wa kule, sio kwamba nilizaa nae kwa bahati mbaya nilimbebea mimba purposely, yaani nilikua kama vile niko obsessed, nilikua kama vile bado naamini ipo siku tutaishi pamoja, lakini kadri miaka inavoenda uwezekano huo unapotea kabisa, ni shetani ndio amekuwa akinidanganya na sio akili yangu
huwa namwambia mume wangu kuwa watoto wamefanana na kule kwa shangazi yangu, Mungu ni wa ajabu, na yeye anasema amina.
Ni kweli kabisa mke wa cousin wangu huwa hatuelewani sijajua kwanini, ingawa hatujawahi kugombana ila ndio hivyo hanipendi kabisa, cousin yangu ameshasema kwa maslahi ya ndoa zetu tuachane for good, lakini kwa kweli nimeshindwa kabisa kumuondoa moyoni, hata yey epia huwa anasema tu kwa maneno lakini tukionana tunakumbatiana hadi tunalia, naweza kujitahidi hata kwa miezi mitatu mnne lakini baadae nashindwa, namtafuta nambembeleza tunajikuta tumefanya.
Natafuta namna nimuondoe kabisa moyoni tuliache kabisa jambo hili kabla halijaleta madhara kwa pande zote, maana hadi sasa mwingine anaejua suala hili ni dada yake wanaefuatana nae, na ambae ameshatuonya sana tuliache bila mafanikio.
Naomba mnisaidie nifanye nini nivuke jaribu hili.
Asante
Ana jinsia mbili Mkuu!Dume hilo
kwa hiyo amsingizie mzee wa watu .. mama mtu kisikia itakuwaje?Futa namba yake na mtafutie kiki ili mgombane, mdanganye kwamba umelala na baba ake mzaz ili akuchukie najua kila utakapo mtafuta yy atakuwa anakutukana matus mpaka na ww utakata tamaaa mpaka utapozoea ndo umwambie nn ulichokifanya.
ha hah ahahahaaaaaaaaahuwa namwambia mume wangu kuwa watoto wamefanana na kule kwa shangazi yangu, Mungu ni wa ajabu, na yeye anasema amina.
C BURE MUMEO ANA NYOTA YA YESU.....
Hapana hapa nimefurahi kuona wanaume wamenyooshwa kisaikolojiaeve umefuraaaaaaaaahi haha inaelekea shem wetu ana wa nje
Niaje guys? Hope ur good.
Kuna cousin wangu ambae ni mtoto wa shangazi yangu, nimelelewa, kusoma na kukua kwao, nilienda hapo nikiwa std two baada ya baba kufariki, wazazi hawakua na ndoa, walipena tu mimba kama marafiki, mama alirudi mkoani kwao na amekua akiishi huko miaka yote
Nikiwa form three nilianzisha uhusiano wa kimapenzi na huyo cousin wangu, wote tulikua boarding school, wakati wa likizo ndio tunakua pamoja, tumbo lao wapo wanne, watatu wasichana, yeye pekee ndio mwanaume, tumekuwa na uhusiano wa siri hadi chuo, mimi nilisoma sheria yeye alifanya bachelor of Commerce, baadae tukaanza kazi na kupata familia zetu, kiukweli tangu kuanza mapenzi sijawahi kumpenda mtu mwingine the way navyompenda huyu cousin wangu.
Nimemzoea mno, kiasi kwamba baada ya chuo tulikubaliana kila mtu atafute mpenzi mwingine maana uhusiano wetu hauna future kutokana na kuwa ndugu, nikapata mtu kazini lakini nilishindwa tukarudiana na cousin yangu, baadae ndipo nikampata huyu alienioa, lakini bado sikuweza kumsahau cousin, tunaendelea na uhusiano wetu hadi sasa kwa kuiba.
Nina watoto wawili wa huyu cousin yangu ingawa husband anajua ni wa kwake, hawajafanana sana na cousin yangu lakini ukimuona mtoto wa cousin yangu aliepata na mkewe na hawa mapacha wangu wanafanana kila kitu na huyo wa kule, sio kwamba nilizaa nae kwa bahati mbaya nilimbebea mimba purposely, yaani nilikua kama vile niko obsessed, nilikua kama vile bado naamini ipo siku tutaishi pamoja, lakini kadri miaka inavoenda uwezekano huo unapotea kabisa, ni shetani ndio amekuwa akinidanganya na sio akili yangu
huwa namwambia mume wangu kuwa watoto wamefanana na kule kwa shangazi yangu, Mungu ni wa ajabu, na yeye anasema amina.
Ni kweli kabisa mke wa cousin wangu huwa hatuelewani sijajua kwanini, ingawa hatujawahi kugombana ila ndio hivyo hanipendi kabisa, cousin yangu ameshasema kwa maslahi ya ndoa zetu tuachane for good, lakini kwa kweli nimeshindwa kabisa kumuondoa moyoni, hata yey epia huwa anasema tu kwa maneno lakini tukionana tunakumbatiana hadi tunalia, naweza kujitahidi hata kwa miezi mitatu mnne lakini baadae nashindwa, namtafuta nambembeleza tunajikuta tumefanya.
Natafuta namna nimuondoe kabisa moyoni tuliache kabisa jambo hili kabla halijaleta madhara kwa pande zote, maana hadi sasa mwingine anaejua suala hili ni dada yake wanaefuatana nae, na ambae ameshatuonya sana tuliache bila mafanikio.
Naomba mnisaidie nifanye nini nivuke jaribu hili.
Asante
Duuh hatari sana we mwanamke,wanaume tumekukosea nini?siwezi onea mwanaume huruma
Uuuwiiii...... wewe mwanamke utaniua kwa presha, kumbe hawa mapacha siyo damu yangu?Nina watoto wawili wa huyu cousin yangu ingawa husband anajua ni wa kwake, hawajafanana sana na cousin yangu lakini ukimuona mtoto wa cousin yangu aliepata na mkewe na hawa mapacha wangu wanafanana kila kitu na huyo wa kule, sio kwamba nilizaa nae kwa bahati mbaya nilimbebea mimba purposely, yaani nilikua kama vile niko obsessed, nilikua kama vile bado naamini ipo siku tutaishi pamoja, lakini kadri miaka inavoenda uwezekano huo unapotea kabisa, ni shetani ndio amekuwa akinidanganya na sio akili yangu
huwa namwambia mume wangu kuwa watoto wamefanana na kule kwa shangazi yangu, Mungu ni wa ajabu, na yeye anasema amina.
Hilo nalo tatizoAna jinsia mbili Mkuu!
Hahaha na moto achomweUnastahili kunyongwa mpaka kufa
mwanamke anaemcha Mungu yupoje?
utajuaje mtu yupo hivo? hata shetani ni mcha munguMwanamke anayemcha Mungu ni yule mwenye sifa zifuatazo:
Hizi ndio sifa za mwanamke au mtu yoyote anayemcha Mungu.
- Ni yule anayemuogopa na kumheshimu Mungu
- Ni yule anayetii na kuzishika amri za Mungu na anayeogopa kumchukiza Mungu kwa namna yoyote ile.
- Ni yule mpenda ibada na ambaye humtanguliza Mungu katika shughuli zake zote kwa sababu anaamini kuwa Mungu ndio kimbilio na nguvu yake na bila ya nguvu na msaada wake, hawezi kitu.
- Ni yule mwenye kuombea familia, ndugu na marafiki hata wale wanaowaudhi badala ya kuwaapiza na kuwaombea mabaya.