Nafurahi kuitwa Mtanganyika

Nafurahi kuitwa Mtanganyika

Imejaa wezi ,wanafiki , wadhulumati na wajinga sijivunii Utanganyika .
 
Kuna mtu kijana anadai aliitwa mpemba...alilaani had Tanzania yote ikajua....sijui kwanini hakupenda kuitwa hivyo ilihali yeye ni mpemba.
 
Hilo jina lilifutwa rasmi na Nyerere nivizuri hii Generation mmeamua kulifufua
 
Kwa pamoja tuseme sisi ni watanganyika, Arusha,mbeya ,singida ,mwanza ,rukwa kotekote tuseme sisi ni watanganyika
#Kataa Muungano, ni utapeli
Nje ya Muungano kuna haya :-

1)Ugaidi wa kidini

2)Ugaidi wa kikomunisti

3)Siasa za kidini

4) Siasa za kihafidhina zenye busubusu na UKABILA NA UKANDA

UDUMU MUUNGANO WETU
 
Wote hamna akili mnaongozwa na ushabiki, Tanganyika ipi unayoijua wewe ukasema wewe ni mtanganyika? Unakuta umri wenu ni 28- 35
 
Back
Top Bottom