Nafungua iphone zenye passcode lock na kuondoa icloud

Nafungua iphone zenye passcode lock na kuondoa icloud

DonCarlos100

Member
Joined
Aug 22, 2016
Posts
40
Reaction score
18
nafungua iphones zenye passcode lock na kutoa icloud nasisitiza natoa icloud sio kufungua,na sio iphones zote zinaweza funguliwa especially ambazo zinalatest versions za IOS but whatever lete simu yako niishughulikie bei maelewano<br /><br />nikiishamalizana na iphone yako inakuwa mpya bila ownership ya mtu yeyote yule mpaka utakapo sign in na apple id so its safe hautaweza patikana hata kama utaleta uliyoiba au uliyookota<br /><br />my number 0692747618
 
nafungua iphones zenye passcode lock na kutoa icloud nasisitiza natoa icloud sio kufungua,na sio iphones zote zinaweza funguliwa especially ambazo zinalatest versions za IOS but whatever lete simu yako niishughulikie bei maelewano<br /><br />nikiishamalizana na iphone yako inakuwa mpya bila ownership ya mtu yeyote yule mpaka utakapo sign in na apple id so its safe hautaweza patikana hata kama utaleta uliyoiba au uliyookota<br /><br />my number 0692747618
Aisee... Yaani mtu ameokota Iphone!!
 
nafungua iphones zenye passcode lock na kutoa icloud nasisitiza natoa icloud sio kufungua,na sio iphones zote zinaweza funguliwa especially ambazo zinalatest versions za IOS but whatever lete simu yako niishughulikie bei maelewano<br /><br />nikiishamalizana na iphone yako inakuwa mpya bila ownership ya mtu yeyote yule mpaka utakapo sign in na apple id so its safe hautaweza patikana hata kama utaleta uliyoiba au uliyookota<br /><br />my number 0692747618
Pass code lock yawezekana ukawa unaweza kutoa, lakini issue ya iCloud hapana usiwadanganye na kuwaibia watu, kumbuka kitu pekee kinachofanya cm za i Phone kuwa ghali zaid ni security system yao....... unachozungumza ni sawa na mtu aseme leo nimegundua gradients solutions zitumikazo na kampuni ya cocacola impossible!!
 
Na je ukishaunlock, unaweza kuilovk tena kwa credetials zangu au ndo inakua kama remote tu...?
 
We ni mwizi tu, na unashauri wezi wasiache. Watu kama wewe ni kukutumia radi tu
 
Tehe tehe teheeee! Naona unapima upepo wa watu humu
 
Pass code lock yawezekana ukawa unaweza kutoa, lakini issue ya iCloud hapana usiwadanganye na kuwaibia watu, kumbuka kitu pekee kinachofanya cm za i Phone kuwa ghali zaid ni security system yao....... unachozungumza ni sawa na mtu aseme leo nimegundua gradients solutions zitumikazo na kampuni ya cocacola impossible!!
kuna iPhone 6s ipo tu kama toy, hakuna mwenye kuweza ondoa iCloud
 
Pass code lock yawezekana ukawa unaweza kutoa, lakini issue ya iCloud hapana usiwadanganye na kuwaibia watu, kumbuka kitu pekee kinachofanya cm za i Phone kuwa ghali zaid ni security system yao....... unachozungumza ni sawa na mtu aseme leo nimegundua gradients solutions zitumikazo na kampuni ya cocacola impossible!!
kama nilivyosema sio kila IOS inakubali na sifungui icloud ninachokifanya ni sawa na factory reset ya Androids ingawa kwenye iphone data inarudi kwasababu hiyo reset inatumia PC yenye back ups zako sasa kabla data haijarudishwa naweka zingine

FBI wameshindwa kufungua icloud sio kuiondoa wao wanataka wafungue waangalie text calls na info zote ambapo ni lazima wafungue kama vile mwenye nayo
 
kama nilivyosema sio kila IOS inakubali na sifungui icloud ninachokifanya ni sawa na factory reset ya Androids ingawa kwenye iphone data inarudi kwasababu hiyo reset inatumia PC yenye back ups zako sasa kabla data haijarudishwa naweka zingine

FBI wameshindwa kufungua icloud sio kuiondoa wao wanataka wafungue waangalie text calls na info zote ambapo ni lazima wafungue kama vile mwenye nayo
Tatizo la watu weusi hufikiri sawa na ngozi zao. FBI walitaka ruhusa kutoka kwa apple na pia kutopoteza data km calls, sms, photos etc.
Kubypass ni kosa kisheria na kubypass ni km unatumia kitu cha wizi kwahiyo watu wanafanya kwasbb ya kujipatia kipato kifupi umasikini umetutawala. kitu chochote kinachookotwa au kuibiwa lazima kiripotiwe polisi na km ukiiokota kitu lazima upeleke polisi. Kwahiyo FBI wangebypass wangeshitakiwa kwabb wamefanya cybercrime.
Ila wabongo sasa, hapo ndiyo wamekaririshwa. FBI hawajashindwa km watu wanaweza kuhack mashirika makubwa au taasisi kubwa wengine hata siri za jeshi watashindwa Icloud?
Hakuna kitu kinachoshindikana chini ya jua. Hakipo ni suala la muda tu.
Ushajiuliza kwann apple wanaupdate ios zao? Kwann wasiache kuupdate? Hakuna kitu kinachoshindikana chini ya jua. Hiyo Icloud ni issue ndogo tu na inatoka.
Kuna sites na software nyingi tu zinazoweza kubypass hii icloud.
Hongera sana mkuu. Achana ngozi nyeusi hizi na kubisha kwao wala haisadii kutobypass icloud. Piga kazi achana na hawa wapiga kelele
 
comment yako haipo open
uliza kinachofanyika kama unajua kinachofanyika kuzirekebisha hizo simu
Mkuu wala usibishane na ngozi nyeusi sbb wao wanachoweza zaidi ni kubisha pasipo utafiti ndiyo maana Africa maendeleo hakuna. Ww tafuta wateja basi. Waache wabishe sbb kubisha kwao haizuii kutobypass Icloud.
Hakuna kitu kinachoshindikana chini ya jua ni suala la muda tu ndiyo maana kila siku apple wanaupdate ios zao.
FRP mbona imekuwa bypassed tena kirahisi tu? Ishindikane icloud?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom