Nafasi za kujiunga na JWTZ

Nafasi za kujiunga na JWTZ

wadau nimeuliza kwa lengo lakupata ufafanuzi nakama nmekosea haikuwa dhamira yangu kukosea. Asante kwawalio nipa matumain na walio nkosoa. Hvyo jkt wanachukua na under graduate?
 
Mkuu ina maana hua wanajitangazia wao huko huko kwenye Jeshi ili warithishe kwenye familia zao?

Amini nachokwambia utaratibu huo umefutwa,afsa kadeti wote wana wa rekruit ktka ndani ya jeshi,na si mtaani,
 
kwa vyovyote vile kk, mikoa mingi ina kambi za kijeshi, kw kuwa ni haki ya kila raia kupata taarifa kadri zilivyo na umuhim, ni vyema ukaenda kambini kabisa ukawauliza ili upate uhakika zaid kuliko Kuwategemea wana jamiiforum ambao endapo ikitokea wasipokupa taarifa huwez kuwalaum.''
 
kwa vyovyote vile kk, mikoa mingi ina kambi za kijeshi, kw kuwa ni haki ya kila raia kupata taarifa kadri zilivyo na umuhim, ni vyema ukaenda kambini kabisa ukawauliza ili upate uhakika zaid kuliko Kuwategemea wana jamiiforum ambao endapo ikitokea wasipokupa taarifa huwez kuwalaum.''

we mponze mwenzako aende wakamng'oe kucha na meno bila ganzi....
 
plz wana wa mkeka huu kwa yeyote mwenye taarifa kuhsu lini hawa jamaa wanatoa hizi post zo naomba anijuze kwani hiz ni siku za mwisho mwisho so usipo uliza yawezekana nafasi zikaoka kmya kmya uf mtu unakuja skia kuwa wiki moja iliyopita wenzio walifanyiwa usaili na wa washapewa na namba tayari kuelekea iringa arusha au dodoma so tafazali kma una taarifa kuwa ni lini hizi nafasi zinztokan basi asste kunijuza wanajamii wenzangu kwa wale wenye kupenda joks hii sio sehemu yake plz wadau tupeane taarifa.

Ili mje mtupige tuu..
 
kwa vyovyote vile kk, mikoa mingi ina kambi za kijeshi, kw kuwa ni haki ya kila raia kupata taarifa kadri zilivyo na umuhim, ni vyema ukaenda kambini kabisa ukawauliza ili upate uhakika zaid kuliko Kuwategemea wana jamiiforum ambao endapo ikitokea wasipokupa taarifa huwez kuwalaum.''

Nenda jkt itakuwa rahc kwako kwenda jwtz
 
haina noma wakuu,coz nmechoka na kaz ya kufundisha ngoja nifanye na upande mwngne
 
sasa sisi ambao tulimaliza shule na jkt ilikuwa haijaanzishwa inakuaje jamani? maana mi mwenyewe na tamani gwanda la kijani na kijivu nimemaliza shahada na kwa sasa nina miaka 26
 
sasa sisi ambao tulimaliza shule na jkt ilikuwa haijaanzishwa inakuaje jamani? Maana mi mwenyewe na tamani gwanda la kijani na kijivu nimemaliza shahada na kwa sasa nina miaka 26

none sense,yaan unachokitaman wewe ni gwanda tu?you can not be a real soldier at all. Poor you..
 
Habari za jioni wanajamii forums! nimefatlia maelezo yenu hapo juu wengine wanakatisha tamaa!!!!!! na wengine wanatia moyo,, ila kiukweli tunazihitaji sana!!!!!! tafadhaali naomba tuzidi kujuzana pindi zitakapotangazwa
 
Habari za jioni wanajamii forums! nimefatlia maelezo yenu hapo juu wengine wanakatisha tamaa!!!!!! na wengine wanatia moyo,, ila kiukweli tunazihitaji sana!!!!!! tafadhaali naomba tuzidi kujuzana pindi zitakapotangazwa

Mkuu, na wewe jitahidi kutafuta hizo info maana zinapotoka wawindaji wengi huwa hawamwagi mchele ila wale walikinai ndio huleta habari hivyo usidharau.
 
ebhan dah hi kitu tunaicklzia sana bt inaenda kmyakmya utaweza usijue kabsaa
 
Back
Top Bottom