Hii nimepenyezewa na mwanangu mmoja.
Km upo mwake wasiliana nao. Ma ticha wa Phy, Chem, Bios, Maths, Geo, Hist na Engl O Level jioni.
Kituo ni kipya ndo kinaanza, usije kumbwela mipango yako mikubwa eti kazi umepata.
Naweka email hapa, namba yake kakataa nisiweke humu. Nadhani anaogopa wadada watamtongoza maana siku hz JF sio yaan.
Subirini email kwa wale walio serious.
Km upo mwake wasiliana nao. Ma ticha wa Phy, Chem, Bios, Maths, Geo, Hist na Engl O Level jioni.
Kituo ni kipya ndo kinaanza, usije kumbwela mipango yako mikubwa eti kazi umepata.
Naweka email hapa, namba yake kakataa nisiweke humu. Nadhani anaogopa wadada watamtongoza maana siku hz JF sio yaan.
Subirini email kwa wale walio serious.