Umefanya vizuri sana! tunatafuta mtaalam wa kilimo wa mbogamboga na mazao mengine na awe anajua kuendesha trekta, awe anajua kutumia mashine zingine za kilimo, awe na diploma in agricultural.... awe na uzoefu usiopungua mwaka mmoja na awe tayari kufanya kazi Arusha!
tafadhali tuma maombi kwa email iliyoko hapo kwenye matangazo ya kazi za juu!!
tuma resume yako cover letter na cv) na vyeti.
PLZ Sitakujibu ukituma hapa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.