Nafasi za kazi

Nafasi za kazi

Mbona hakuna progress naona kimya mtoa mada .
 
Acheni kuweka contact zenu hadharani, Either mnaweza Mpm huyo bwana au awaambie application zinatumwa wapi. Mtaibiwa vitigo pesa na watu watahack email zenu
 

Nimejibu email zote ndugu ila watakaotuma kuanzia leo Jumapili tar 6 nitawajibu kwa kazi zingine ambazo zitajitokeza zenye deadline ya mbele (ambazo deadline hazijapita)
 
Acheni kuweka contact zenu hadharani, Either mnaweza Mpm huyo bwana au awaambie application zinatumwa wapi. Mtaibiwa vitigo pesa na watu watahack email zenu

Ni kweli kabisa alichokisema huyu jamaa!! LAKINI naomba usitume pesa kwa mtu yeyote ili upate kazi, Na kwa wale waliopata email zangu nimeshawaelekeza namna ya kufanya!! Ni vizuri kusikiliza ushauri na mm nimeupokea kuwa hapa contact sio vizuri kuweka, huwezi jua nani atacopy. ANGALIZO: Usitume pesa kwa mtu yeyote ambae humfahamu ili kupata kazi, utaibiwa
Hata kwangu don't dare!
Good Luck
 
Mbona hakuna progress naona kimya mtoa mada .

Progress ipo ndugu! Sema pengine irudie email yako kama iko sawa na kama iko sawa check inbox yako (sure)
 
communication specialist

e-mail address; chunyanichunya@gmail.com
 
Naomba msome maelezo yote ktk attachments kisha changamkia deal ni la kweli wadau, kama kuna walaghai siko miongoni mwao!! ukiitwa ktk usaili jibu hapahapa, usiweke contact yako tena(ushauri)!!

 
Naomba msome maelezo yote ktk attachments kisha changamkia deal ni la kweli wadau, kama kuna walaghai siko miongoni mwao!! ukiitwa ktk usaili jibu hapahapa, usiweke contact yako tena(ushauri)!!


Nimepata email yako lakini haina attachments yoyote mkuu.
 
Wajanja wamechangamkia deal, Asanteni s@na vijana!
MNAJUA KAZI NI NYINGI ILA NAFASI NDIO CHACHEEEEEEEEEEEEEEE!!!
Remember: only shortlisted will be conducted!!!
Good Luck
 
watu wa business vipi?? unawachukua kuna dogo lipo iddle
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom